Jeremiah 52:31

Yehoyakini Anaachiwa Huru

31 aKatika mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe uhamishoni, katika mwaka ule ambao Evil-Merodaki
Pia aliitwa Ameli-Mariduki.
alifanyika mfalme wa Babeli, alimwacha huru Yehoyakini mfalme wa Yuda, na kumfungua kutoka gerezani siku ya ishirini na tano ya mwezi wa kumi na mbili.
Copyright information for SwhNEN